Welcome/Karibu sana!

Karibu sana/Welcome!

We provide an inspirational forum for people with challenges in life,businesses,education etc to exchanges ideas and share the solutions to the globe.We are mainly focused on youths who are especially facing many challenges in life.Mobile no:+255653259644

Looking for something?

Subscribe to this blog!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Friday, 5 September 2014

HATUA ZA MAAMBUKIZI YA UKIMWI

Je, kuna hatua ngapi za ugonjwa wa VVU/UKIMWI na dalili zake ni zipi?
Kwa mujibu wa uanishaji uliofanywa na wataalamu wa Shirika la Afya Duniani yaani WHO, kuna hatua kuu nne za ugonjwa wa VVU/UKIMWI ambazo ni:
1. Hatua ya kwanza au maambukizi ya mwanzo ya HIV. Hatua hii huwa ni ya muda wa wiki nne na ni asilimia 20 tu ya watu wenye maambukizi ya VVU walio kwenye hatua hii ambao hupata dalili na viashiria vikali vya ugonjwa huu, lakini mara nyingi  madaktari hushindwa kutambua kama mgonjwa amepata maambukizi ya virusi vya Ukimwi kutokana na dalili na viashiria vyake kufanana sana na dalili za magonjwa mengine. Mgonjwa aliye katika hatua hii ya kwanza ya maambukizi ya VVU huweza kuonesha dalili na viashiria kama vile kuvimba tezi, kupatwa na homa kali, kuumwa koo, kujihisi mchovu, kujihisi maumivu sehemu mbalimbali mwilini kutokwa na vipele mwilini,kutapika, kuharisha au kuumwa tumbo Endelea hapa...

No comments :

Post a Comment