 Muda mfupi uliopita, mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, 
Maalim Seif Sharif Hamad, ameitisha mkutano wa waandishi wa habari na 
kusema kuwa baada ya chama chake kukusanya fomu zote za matokeo kutoka 
vituoni, yeye amepata kura 200,007 dhidi ya kura 178,363 za mgombea wa 
CCM anayetetea nafasi yake, Dk. Ali Mohammed Shein, na kuitaka Tume ya 
Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kutangaza matokeo halisi kama yalivyo kwenye 
fomu zinazotoka vituoni.
 Muda mfupi uliopita, mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, 
Maalim Seif Sharif Hamad, ameitisha mkutano wa waandishi wa habari na 
kusema kuwa baada ya chama chake kukusanya fomu zote za matokeo kutoka 
vituoni, yeye amepata kura 200,007 dhidi ya kura 178,363 za mgombea wa 
CCM anayetetea nafasi yake, Dk. Ali Mohammed Shein, na kuitaka Tume ya 
Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kutangaza matokeo halisi kama yalivyo kwenye 
fomu zinazotoka vituoni. Monday, 26 October 2015
Maalim Seif Zanzibar atangaza kushinda Uraisi
 Muda mfupi uliopita, mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, 
Maalim Seif Sharif Hamad, ameitisha mkutano wa waandishi wa habari na 
kusema kuwa baada ya chama chake kukusanya fomu zote za matokeo kutoka 
vituoni, yeye amepata kura 200,007 dhidi ya kura 178,363 za mgombea wa 
CCM anayetetea nafasi yake, Dk. Ali Mohammed Shein, na kuitaka Tume ya 
Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kutangaza matokeo halisi kama yalivyo kwenye 
fomu zinazotoka vituoni.
 Muda mfupi uliopita, mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, 
Maalim Seif Sharif Hamad, ameitisha mkutano wa waandishi wa habari na 
kusema kuwa baada ya chama chake kukusanya fomu zote za matokeo kutoka 
vituoni, yeye amepata kura 200,007 dhidi ya kura 178,363 za mgombea wa 
CCM anayetetea nafasi yake, Dk. Ali Mohammed Shein, na kuitaka Tume ya 
Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kutangaza matokeo halisi kama yalivyo kwenye 
fomu zinazotoka vituoni. 
Subscribe to:
Post Comments
                                        (
                                        Atom
                                        )
                                      
 
 
 
 
 





 
No comments :
Post a Comment