Welcome/Karibu sana!

Karibu sana/Welcome!

We provide an inspirational forum for people with challenges in life,businesses,education etc to exchanges ideas and share the solutions to the globe.We are mainly focused on youths who are especially facing many challenges in life.Mobile no:+255653259644

Looking for something?

Subscribe to this blog!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Wednesday, 21 October 2015

Wananchi ndani ya mita 200 Mtwara wakimbia makazi yao!!!

Wananchi wa mkoa wa Mtwara wameingia hofu na baadhi yao wameanza kuyakimbia makazi yao wengi wakiwa wanawake na watoto kwa madai nyumba zao zipo ndani ya mita miambili hivyo wanalazimika kuondoka kutii kauli ya serikali.
Wakizungumza na waandishi baadhi ya wananchi wamesema mbali na kutii kauli hiyo wingi wa askari polisi ambao wamesambaa maeneo mbalimbali ya mji wamekuwa wakitia hofu wananchi.
Akizungumzia hofu hiyo mkuu wa mkoa wa Mtwara Halima Dendego amesema jeshi la polisi limelazimika kuweka ulinzi huo baada ya kuwapo kwa taarifa za kuandaliwa makundi mbalimbali kuzuia watu kupiga.
Watu laki saba ishirini na nane elfu na mia tisa 81 kutoka majimbo kumi ya mkoa wa Mtwara wanatarajiwa kupiga kura siku ya jumapili kuchagua rais, wabunge na madiwani

No comments :

Post a Comment