Welcome/Karibu sana!

Karibu sana/Welcome!

We provide an inspirational forum for people with challenges in life,businesses,education etc to exchanges ideas and share the solutions to the globe.We are mainly focused on youths who are especially facing many challenges in life.Mobile no:+255653259644

Looking for something?

Subscribe to this blog!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Friday, 16 October 2015

Mbunge Deo Filikunjombe na baba yake Jerry Silaa wamefariki kwa ajali ya Helikopta..



Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amefariki dunia katika ajali ya Helkopta iliyotokea jana jioni katika eneo la Pori la hifadhi la Selou Ng'ambo ya mto rufiji.

Kwa mujibu wa Kamishna wa Operesheni na mafunzo maalumu wa Jeshi la Polisi,Paul Chagonja aliyekuwepo kwenye uwokoaji huko Selou ameeleza kwamba Helkopta hiyo imekutwa ikiwa imeungua vibaya na hakukuwepo na dalili zozote za uwepo wa mtu aliyenusurika.
 
Awali kabla ya ajali hiyo kutokea Helkopta hiyo iliomba kutua katika moja ya maeneo ya pori la Selou lakini ilipoteza mawasiliano kabla ya kutua mpaka ilipoonekana hii leo na inaelezwa kuwa kwenye helkopta hiyo kulikuwepo na mbunge Filikunjombe,Rubani wa Helkopta hiyo ambaye ni Captain William Silaa pamoja na abiria wengine wawili ambao mpaka sasa hivi hawajulikani waliko

No comments :

Post a Comment