Welcome/Karibu sana!

Karibu sana/Welcome!

We provide an inspirational forum for people with challenges in life,businesses,education etc to exchanges ideas and share the solutions to the globe.We are mainly focused on youths who are especially facing many challenges in life.Mobile no:+255653259644

Looking for something?

Subscribe to this blog!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Friday, 16 October 2015

BANDARI YA BAGAMOYO KUISHA BAADA YA MIAKA 5




Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali na Mjumbe kutoka China Mkurugenzi Mtendaji wa CMHI ambaye pia ni Makamu wa Rais Mtendaji wa kampuni ya China Merchant Group Dk Hu Jianhua
Mkurugenzi mkuu wa MERCHANT International Group ya China inayojenga bandari ya kimataifa ya BAGAMOYO  Dakta HU JIANHUA amesema ujenzi wa bandari hiyo utakamilika baada ya miaka mitano.
 Akizungumza na waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimaifa BERNARD MEMBE kuhusu suala la fidia kwa watu wanaoishi katika eneo la mradi, Dr. Hu amesema bandari hiyo itajengwa kwa ushirikiano na wadau wengine wa Oman na serikali ya Tanzania.
 Kwa upande wake Waziri MEMBE amesema BANDARI ya KIMATAIFA ya BAGAMOYO itakuwa na uwezo wa kuhudumia nchi zaidi ya tano za AFRIKA MASHARIKI  na uzinduzi wa ujenzi wa bandari hiyo utafanywa na Rais Jakaya Kikwete Kesho mjini Bagamoyo

No comments :

Post a Comment