Welcome/Karibu sana!

Karibu sana/Welcome!

We provide an inspirational forum for people with challenges in life,businesses,education etc to exchanges ideas and share the solutions to the globe.We are mainly focused on youths who are especially facing many challenges in life.Mobile no:+255653259644

Looking for something?

Subscribe to this blog!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Thursday, 15 October 2015

Oscar Pistorius kuhamishiwa kifungo cha nyumbani.

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius akisindikizwa na Polisi baada ya kuhukumiwa Pretoria, Okt. 21, 2014.
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius akisindikizwa na Polisi baada ya kuhukumiwa
Mwanariadha wa Afrika Kusini  Oscar Pistorius atatoka jela wiki  ijayo na kuhamishiwa kwenye kifungo cha nyumbani, mwaka mmoja  baada ya kuhukumiwa kumuuwa rafiki yake wa kike.
Idara ya magereza ya Afrika Kusini  ilisema alhamisi kwamba Pistorius atahamishwa Oktoba 20 na kuwa kwenye kifungo cha nyumbani kwa miaka iliyobaki ya kifungo chake cha miaka mitano.
Pistorius alihukumiwa mwaka jana kwa kumpiga risasi na kumuuwa mwanamitindo Reeva Steenkamp nyumbani kwake Pretoria Februari 2013. Baraza la kutowa msamaha ilieleza jana kwamba Pistorius atabaki chini ya usimamizi wa magereza hadi oktoba 20 2019

No comments :

Post a Comment