Welcome/Karibu sana!

Karibu sana/Welcome!

We provide an inspirational forum for people with challenges in life,businesses,education etc to exchanges ideas and share the solutions to the globe.We are mainly focused on youths who are especially facing many challenges in life.Mobile no:+255653259644

Looking for something?

Subscribe to this blog!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Wednesday, 21 October 2015

BAN KI MOON azuru ghafla nchini ISRAEL

Katibu mkuu wa UMOJA wa MATAIFA BAN KI MOON amefanya ziara ya kushtukiza katika mji wa JERUSALEM nchini ISRAEL ikiwa ni juhudi za umoja wa mataifa kutaka kumaliza ghasia zinazoendelea nchini humo kati ya wapalestina na waisrael.
BAN ametoa wito kwa pande zote mbili kujiondoa katika hatari ya mivutano ya kidini na kuwa na majadiliano yenye kuleta maana kwa pande zote mbili.
Pia ameonya kuwa hatua za dharura zinastahili kuchukuliwa ili kuzuia machafuko hayo kusambaa zaidi.Waziri mkuu wa ISRAEL BENJAMIN NETANYAHU ameilaumu PALESTINA kwa kuanzisha vurugu na kukanusha tuhuma za nchi yake kutumia nguvu kudhibiti makabiliano hayo na kusisitiza kuwa taifa lake linajilinda.BAN pia anatarajia kukutana na rais wa PALESTINA MAHMOUD ABBAS katika UKINGO WA MAGHARIBI.

No comments :

Post a Comment