Welcome/Karibu sana!

Karibu sana/Welcome!

We provide an inspirational forum for people with challenges in life,businesses,education etc to exchanges ideas and share the solutions to the globe.We are mainly focused on youths who are especially facing many challenges in life.Mobile no:+255653259644

Looking for something?

Subscribe to this blog!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Wednesday, 21 October 2015

Tigo yatoa bilioni 3.8 kwa wateja wake

Kampuni ya Tigo imetoa gawio la shilingi bilioni 3.8 kwa wateja wa TIGO PESA katika robo ya tatu ya mwaka huu ambalo ni sawa na ongezeko la asilimia 17 la gawio la shilingi bilioni 3.3 lililotolewa robo ya pili.
Meneja mawasiliano wa TIGO, JOHN WANYANCHA amesema gawio hilo linawahusu wateja binafsi, mawakala wa rejareja na washirika wengine wa TIGO PESA na mteja atapata gawio kulingana na wastani wa salio la kila siku lililotunzwa kwenye akaunti yake ya TIGO PESA

No comments :

Post a Comment